37. WAITWA, MWOVU NA BWANA
WAITWA, MWOVU NA BWANA 1. W aitwa, mwovu, na Bwana Umwendee hima sana, Usafiwe dhambi zako, Humwoni ni mwema kwako? Chorus: Unaitwa! Itika tu! Umwendee Bwana Yesu! Sifiche makosa yako, Uungame dhambi zako! Kristo tu umuamini, Ndiyo njia ua Mbinguni. 2. Alilipa damu yake Alikufa yeye Bwana, Mimi nawe tuwe wema. 3. Ukifanywa kuwa mwema Utaingia rahani Na wapenzi wa zamani. 4. Ni mwanga tu, nchi ile, Kwamba wataka ufike Sharti huku uosheke.