61. TUMESIKIA MBIU

TUMESIKIA MBIU

1.  Tumesikia mbiu:
Yesu lo! aponya,
Utangazeni kote,
Yesu, lo! aponya.
Tiini amri hiyo;
Nchini na baharini,
Enezeni mbiu hii;
Yesu, lo! aponya.
 
2.  Imbeni na vitani;
Yesu, lo! aponya;
Kwa nguvu ya kombozi,
Yesu, lo! aponya.
Imbeni wenye shida,
Unapoumwa moyo.
Na kaburini imba;
Yesu, lo! aponya.
 
3.  Mawimbini uenee;
Yesu, lo! Aponya;
Wenye dhambi jueni;
Yesu, lo! Aponya.
Visiwa na viimbe,
Vilindi itikeni,
Na nchi shangilieni;
Yesu, lo! Aponya.
 
4.  Upepo utangaze;
Yesu, lo! Aponya;
Mataifa yashangaaa;
Yesu lo! Aponya.
Milimani, bondeni,
Sauti isikike
Ya wimbo wa washindi;
Yesu, lo! Aponya.

Comments

Popular posts from this blog

42. KIVULINI MWA YESU

59. PELELEZA NDANI YANGU

37. WAITWA, MWOVU NA BWANA